- Stashahada ya kawaida ya Biblia
- Stashahada ya Kawaida ya Bibla na Upandaji Makainsa
- Stashahada ya Kawaida Biblia na Uongozi wa Kanisa
- Stashahada ya Kawaida ya Theolojia na Ushauri wa Kichungaji
- Stashahada ya Kawaida ya Elimu Ya Kikristo
STASHAHADA YA KUPANDA MAKANISA (Diploma in Church Planting (DCP)
Progamu hii imeanzishwa ili kuweza kuwatayarisha watumishi wa Mungu ili waweze kujihusisha katika upandaji makanisa katika maeneo mbalimbali ndani ya nchi zao na nchi za kigeni. Programu hii inalenga kumpa mwanafunzi ujuzi na stadi za kupanda makanisa na kumjengea uwezo wa kupanda makanisa. Mwanafunzi anaadaliwa namna atakavyoweza kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika uwanja wa upandaji makanisa na namna anavyoweza kutumia raslimali mbalimbali ili kuwezesha kazi ya kupanda makanisa kusonga mbele.
Pia program hii inalenga kuwapa wanafunzi maarifa ya Kibiblia, kithiologia na kihuduma ili kuwajengea uwezo wa kuweza kuhubiri, kufundisha na kufanya kazi za kiuongozi katika kanisa la mahali au katika nafasi yoyote katika kanisa.
Program hii inalenga kuongeza kasi ya upandaji makanisa yenye afya na yenye kujizidisha kiroho, kiidadi na kijografia. kuandaa viongozi wa kanisa wenye ujuzi na stadi za kupanda makanisa, kuleta uamsho wa kupanda makanisa, kuleta umoja miongoni mwa wapanda makanisa na kukuza uongozi na ujenzi wa timu za kupanda makanisa pamoja na kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufanya utafiti juu ya upandaji makanisa.
Pia program hii inamwandaa mwanafunzi kwaajili ya kuendelea na masomo ya elimu ya juu yaani shahada ya kwanza katika fani mbalimbali za elimu ya ki Mungu.
Baadaya kuhitimu mafunzo mwanafunzi aweza kufanya huduma mbalimbali kutegemea wito au huduma iliyo ndani yake.Mwanafunzi aweza kuwa. Baada ya kuhitimu masomo haya mwanafunzi ataweza kumtumikia Mungu sawasawa na wito ulio ndani yake. Mwanafunzi/Mhitimu aweza kuwa mpanda makanisa, Mmishenari, mchungaji, Mwinjilisti au kiongozi wa timu za upandaji makanisa
Ili mwanafunzi aweze kuhitimu kozi hii na kustahili kutunukiwa Stashahada ya Kupanda makanisa ni lazima awe amesoma na kutimiza jumla ya Krediti 90 na awe amefaulu mitihani yake yote.
Mwanafunzi atatakiwa kuhudhuria mihadhara darasani, kushiriki semina, kufanya mazoezi ya vikundi na mazoezi binafsi. Pia atatakiwa kushiriki mazoezi ya vitendo ndani na nje ya darasa kama itakavyopangwa na mkufunzi wa kozi husika na mkuu wa idara ya kupanda makanisa. Mwanafunzi atatakiwa kuonesha uwezo katika masomo darasani na nje ya darasa. Katika Semista ya sita mwanafunzi atatakiwa kufanya utafiti juu ya upandaji makanisa katika mada mbalimbali zitakazokuwa zimependekezwa na idara na kutoa mhadhara wa upandaji makanisa katika kipindi cha semina.
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA KUPANDA MAKANISA
Mwaka wa Kwanza
Semista ya Kwanza
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 102 |
Pitio la Agano Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Misingi ya Imani |
2 |
Lazima |
EDT 101 |
Kuwafanya watu kuwa wanafunzi |
2 |
Lazima |
EDM 100 |
Sifa na ibada |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
*Mawasiliano na stadi za usomaji |
2 |
Lazima |
EDC 100 |
Utangulizi wa upandaji makanisa |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
*Kiswahiili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
*Kiingereza I |
2 |
Lazima |
Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 200 |
Kuiskia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDT 202 |
Kanuni za kufasiri Biblia |
2 |
Lazima |
EDC 200 |
Uinjilisti Binafsi |
3 |
Lazima |
EDC 202 |
Historia ya kupanda makanisa |
3 |
Lazima |
EDM 200 |
Shule ya ukombozi na Uponyaji |
2 |
Lazima |
EDA 200 |
Stadi za kompyuta I |
2 |
Lazima |
EDA 201 |
*Kiswahili II |
2 |
Lazima |
EDA 202 |
*Kiingereza II |
2 |
Lazima |
EDM 201 |
Vita vya kiroho |
2 |
Lazima |
Semista Ya Tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya kanisa |
2 |
Lazima |
EDC 300 |
Kanisa na umisheni |
2 |
Lazima |
EDT 301 |
Theologia Ya Biblia |
3 |
Lazima |
EDB 300 |
Jiografia ya Biblia |
2 |
Lazima |
EDL 300 |
Maandalio ya uongozi |
2 |
Lazima |
EDC 300 |
Mbinu za kupanda makanisa |
2 |
Lazima |
EDA 300 |
*Stadi za Kompyuta II |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
Kanuni za Kuandaa mahubiri |
2 |
Lazima |
EDT 303 |
Wanawake katika huduma |
1 |
Lazima |
MWAKA WA PILI
Semista ya Kwanza
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 400 |
Agano la Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 400 |
Saikolojia ya Biblia |
2 |
Lazima |
EDT 300 |
Mahusiano ya kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya kiroho |
2 |
Lazima |
EDC 401 |
Mikakati ya upandaji Kanisa |
2 |
Lazima |
EDC 402 |
Misingi ya upandaji kanisa |
2 |
Lazima |
EDT 401 |
Kanisa na utandawazi |
2 |
Lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mungu |
2 |
Lazima |
Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDL 500 |
Kanuni za uongozi wa kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theologia Tumizi |
2 |
Lazima |
EDM 501 |
Huduma ya masaidiano |
2 |
Lazima |
EDT 500 |
Ndoa na familia za Kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 500 |
Mbinu za utafiti katika upandaji kanisa |
2 |
Lazima |
EDC 501 |
Mikakati ya mazidisho ya kiroho |
2 |
Lazima |
EDA 500 |
*Tafsiri na ukalimani |
2 |
Lazima |
EDT 501 |
Kupokea upako wa Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDC 502 |
Mazoezi ya vitendo ya upandaji makanisa |
2 |
lazima |
Semista ya Tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 600 |
Karama za Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDP 600 |
Ushauri wa Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDT 601 |
Theolojia ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa kusudi |
2 |
kuchagua |
EDL 601 |
Usimamizi wa Raslimali za kanisa |
2 |
kuchagua |
EDM 600 |
Mbinu za ufundishaji |
2 |
Lazima |
EDA 600 |
Ujasiliamali |
2 |
Lazima |
EDT 602 |
Mtazamo wa ulimwengu KiBiblia |
2 |
Lazima |
EDT 603 |
Mafundisho potofu |
2 |
kuchagua |
EDT 604 |
Theologia linganishi (dini za ulimwengu) |
2 |
Kuchagua |
EDC 600 |
Semina ya kupanda makanisa |
|
Lazima |
31.2 STASHAHADA YA BIBLIA NA THEOLOGIA (Diploma in Bible and Theology
Programu ya Biblia na Theologia inalenga kuwaandaa watendakazi na viongozi wa kanisa wenye kujaa upako wa Roho mtakatifu na wenye taaluma ya kutosha katika uwanja wa theologia, huduma za kanisa na na uongozi wa kiroho. Pia inalenga kuwapa stadi na ujuzi na kuwajengea uwezo wa kumtumikia Mungu katika wito wao kwa ufanisi mkubwa. Baada ya mafunzo haya viongozi hawa watakuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika utumishi wao na kuweza kumzalia Mungu matunda yanayodumu. Pia wataweza kufanya shughuli za uongozi na kutumia raslimali mbalimbali katika kuujenga ufalme wa Mungu. Pia programu hii inalenga kuwandaa wanafunzi kitaaluma ili wawe na uwezo mpana wa kuendelea na masomo ya elimu ya juu katika fani mbalimbali za elimu ya ki-Mungu.
Programu hii itachukua miaka miwili ya mafunzo darasani na nje ya darasa
Baadaya kuhitimu mafunzo mwanafunzi ataweza kufanya huduma mbalimbali kutegemeana na wito au huduma iliyo ndani yake.Mwanafunzi ataweza kuwa mchungaji, mwalimu, mwinjilisti au kushika nafsi yoyote ya kiuongozi katika taasisi za kidini.
Ili mwanafunzi aweze kuhitimu kozi hii na kustahili kutunukiwa Stashahada ya Biblia na Theologia ni lazima awe amesoma na kutimiza jumla ya Krediti 90 na awe amefaulu mitihani yake yote.
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA BIBLIA NA THEOLOJIA
MWAKA WA KWANZA
Semista ya Kwanza
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 102 |
Pitio la Agano Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Misingi ya Imani |
2 |
Lazima |
EDT 101 |
Ufuasi |
2 |
Lazima |
EDM 100 |
Sifa na ibada |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
Mawasiliano na stadi za usomaji |
2 |
Lazima |
EDT 105 |
Bibliolojia |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
*Kiswahiili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
*Kiingereza I |
2 |
Lazima |
Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 200 |
Kuiskia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDT 202 |
Kanuni za kufasiri Biblia |
2 |
Lazima |
EDT 205 |
Misingi ya Theologia |
2 |
Lazima |
EDT 206 |
Kuvunja kongwa la umaskini |
2 |
lazima |
EDM 200 |
Shule ya ukombozi |
2+ |
Lazima |
EDA 200 |
*Stadi za kompyuta I |
2 |
Lazima |
EDA 201 |
*Kiswahiili II |
2 |
Lazima |
EDA 202 |
*Kiingereza II |
2 |
Lazima |
EDM 201 |
Vita vya kiroho |
2 |
Lazima |
Semista ya Tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya kanisa |
3 |
Lazima |
EDM 300 |
Shule ya uponyaji |
2 |
Lazima |
EDL 300 |
Maandalio ya uongozi |
2 |
Lazima |
EDC 300 |
Mbinu za kupanda makanisa |
3 |
Lazima |
EDA 300 |
Stadi za Kompyuta II |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
Kuandaa mahubiri |
2 |
Lazima |
EDT 303 |
Wanawake katika huduma |
2 |
Lazima |
EDT 305 |
Taipolojia Za Kibiblia |
3 |
Lazima |
EDT 306 |
Thelogia I |
2 |
Lazima |
MWAKA WA PILI
Semista ya Nne
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 400 |
Agano la Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 400 |
Saikolojia ya Biblia |
3 |
Lazima |
EDT 300 |
Mahusiano ya kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya kiroho |
2 |
Lazima |
EDT 405 |
Theologia ya wanamatengenezo wa kanisa |
2 |
kuchagua |
EDT 406 |
Numatolojia |
2 |
Lazima |
EDT 401 |
Kanisa na utandawazi |
2 |
Lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mung |
2 |
Lazima |
Semista ya Tano
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDL 500 |
Kanuni za uongozi wa kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theolojia ya Tumizi |
3 |
Lazima |
EDM 501 |
Huduma ya masaidiano |
2 |
Lazima |
EDT 500 |
Maisha, Ndoa na familia za Kikristo |
3 |
Lazima |
EDT 5005 |
Utafiti wa Kitheologia |
3 |
Lazima |
EDT 502 |
Theolgia II |
2 |
Lazima |
EDA 500 |
Tafsiri na ukalimani |
2 |
Lazima |
EDT 604 |
Theologia linganishi (Dini za Ulimwengu) |
2 |
Kuchagua |
EDT 603 |
Mafundisho potofu |
2 |
Kuchagua |
EDM 502 |
Mazoezi ya vitendo I |
2 |
Lazima |
Semista ya Sita
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 600 |
Karama za Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDP 600 |
Ushauri na Malezi ya Kichungaji |
3 |
Lazima |
EDT 601 |
Theolojia ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa kusudi |
2 |
Kuchagua |
EDL 601 |
Usimamizi wa Raslimali za kanisa |
2 |
kuchagua |
EDM 600 |
Mbinu za ufundishaji |
2 |
Lazima |
EDA 600 |
Ujasiliamali |
2 |
Lazima |
EDT 602 |
Mtazamo wa ulimwengu KiBiblia |
2 |
Lazima |
EDT 501 |
Kupokea upako wa Roho Mtakatifu |
3 |
Lazima |
EDT 604 |
Semina ya kitheologia |
|
Lazima |
31.3 STASHAHADA YA BIBLIA, THEOLOGIA NA SAIKOLOJIA YA UNASIHI
(Diploma in Bible, Theology and Counseling Psychology)
Stashahada ya Biblia, Theolojia na Saikolojia ya unasihi imeanzishwa kwaz lengo la kueatayarisha watumishi wanye taaluma katika Biblia,Theolojia na Saikolojia ya Unasihi ili kukabiliana na changamoto za Kisaikolojia zinazolikumba kanisa na jamii kwa jumla. Programu hii inalenga kuwatayarisha viongozi watumishi wenye ufahamu mpana kuhusu mambo ya Saikolojia ili waweze kusaidia waamini na jamii kwa ujumal katika kutatua matatizo ya kisaikolojia. Taaluma ya Saikolia ya unasihi imekuwa muhimu sana katika kipindi hiki ambapo dunia inapitia mageuzi makubwa kiucumi, kijamii na kisiasa hasa kutokana na kukua kwa kasi kwa Sanyasi na teknolojia na Utandawazi ambapo dunia imeletwa katika kiganga cha mwanadamu. Dunia imekuwa Kama kijiji.
Kukua kwa utandawazi kumeleta athari chanya na hasi katika kanisa na jamii kwa ujumla. Wimbi la mmomonyoko wa maadili limekuwa kubwa kuliko wakti mwingine wowote. Hivyo basi program hii imeanzishwa kwa lengo mahususi la kuwatayarisha viongozi watumishi watakaokwenda kusaidia kanisa na jamii kwa ujumla katika kushughulikia changamoto anuai zinazoikumba jamii.
Stashahada ya Biblia, Theolojia na Saikolojia ya Unasihi ni program ya mafunzo ya miaka miwili yenye jumla ya semista sita za mafunzo na jumla ya krediti 90. Jrediti moja ina jumla ya masaa 15 ya ufundishaji. Ili mwanafunzi aweze kutunukiwa stashahada hii anapaswa kufuzu mihitahi yote na kutimiza mahitaji yote ya Programu hii.
Baada ya kufuzu mafunzo haya mhitimu ataweza kufanya kazi kama Mshauri Nasihi, Mchungaji, Mwinjilisti, N.k kulingana na wito ambao Mungu ameweka ndani yake.
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA BIBLIA,THEOLOJIA NA SAIKOLOJIA YA UNASIHI
MWAKA WA KWANZA
Semista ya kwanza
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 101 |
Pitio la Agano Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Misingi ya Imani ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDT 101 |
Ufuasi |
2 |
Lazima |
EDP 100 |
Utangulizi wa Saikolojia na Unasihi |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
Stadi za Mawasiliano na Ujifunzaji |
3 |
Lazima |
EDT 105 |
Bibliolojia |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
Kiswahili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
Kingereza I |
2 |
lazima |
Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 200 |
Kusikia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDT 202 |
Kanuni za kufasiri Maandiko |
3 |
Lazima |
EDP 200 |
Afya y Akili |
2 |
Lazima |
EDP 201 |
Saikolojia ya Makuzi |
|
Lazima |
EDM 200 |
Ukombozi na Uponyaji |
3 |
Lazima |
EDA 200 |
Stadi a Kompyuta (utangulizi wa kompyuta) |
2 |
Lazima |
EDA 201 |
Kiswahili II |
2 |
Lazima |
EDA 202 |
KIngereza |
2 |
Lazima |
EDP 202 |
Mbinu za Ushauri nasihi I |
3 |
Lazima |
Semista ya tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya Kanisa |
3 |
Lazima |
EDP 300 |
Matatizo ya Kisaikoloji |
3 |
Lazima |
EDP 301 |
Sakolojia ya Jamii |
2 |
Lazima |
EDP 302 |
Ushauri Nasihi wa Kabla ya Ndoa |
2 |
Lazima |
EDA 300 |
Stadi za Kompyuta II (Microsoft word) |
2 |
Lazima |
EDP 303 |
Unasihi wa Makundi maalum ya Watu |
2 |
Lazima |
EDT 301 |
Wanawake katika Huduma |
3 |
Lazima |
EDP 304 |
Kudhibiti Majanga |
3 |
Lazima |
EDP 305 |
Unasihi wa Rika Barehe |
2 |
Lazima |
Semista ya nne
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDP 400 |
Haiba za Watu |
2 |
Lazima |
EDP 401 |
Ushauri Nasihi wa Ndoa na Familia |
3 |
Lazima |
EDP 402 |
Kusaidia Mahusiano na Maingiliano ya Watu |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya Kiroho |
3 |
Lazima |
EDP 403 |
Unasihi Kwa watu wanaoishi na VVU/UKIMWI |
2 |
Lazima |
EDP 404 |
Ushauri nasihi wa Taaluma, kazi na Ajira |
2 |
Lazima |
EDT 406 |
Numatolojia/ Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDP 405 |
Mbinu za Ushauri nasihi II |
3 |
Lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mungu |
2 |
Lazima |
Semista ya tano
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 500 |
Kanuni za Uongozi wa Kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theolojia Tumizi |
3 |
Lazima |
EDP 500 |
Unasihi kabla ya Kustaafu Kazi |
2 |
Lazima |
EDT 500 |
Maisha, Ndoa na Familia za Kikristo |
3 |
Lazima |
EDP 501 |
Mbinu za utafiti wa Kisaikolojia |
2 |
Lazima |
EDP 502 |
Usuruhishi, utatuzi na usimamizi wa Migogoro I |
2 |
Lazima |
EDA 500 |
Tafsri na Ukalimani |
2 |
Lazima |
EDT 507 |
Dini Kuu za Ulimwengu |
3 |
Lazima |
EDP 503 |
Unasihi wa Jamii |
2 |
Lazima |
EDP 504 |
Mazoezi ya Vitendo II |
2 |
Lazima |
Semista ya sita
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 600 |
Karama za Roho Mtakatifu |
3 |
Lazima |
EDTP 600 |
Ushauri na Malezi ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDP 601 |
Saikolojia ya Mawasiliano |
2 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa Kusudi |
2 |
Lazima |
EDP 602 |
Ubadilishaji wa Tabia na Mwenendo |
3 |
Lazima |
EDM 600 |
Mbinu za Ufundishaji |
3 |
Lazima |
EDA 600 |
Stadi za Ujasiliamali |
2 |
Lazima |
EDP 603 |
Unasihi na Saikolojia ya Maadili |
2 |
Lazima |
EP 604 |
Usuruhishi, utatuzi na usimamizi wa Migogoro II |
2 |
Lazima |
EDT 607 |
Upako wa Roho Mtakatifu |
3 |
lazima |
EDP 605 |
Semina ya Saikolojia ya Unasihi |
|
Lazima |
31.4. STASHAHADA YA ELIMU YA KIKRISTO (Diploma in Christian Education)
Stashahada ya Elimu ya Kikristo Imeanzishwa kwa lengo la kuwatayarisha Walimu wa Neno la Mungu (Biblia) Stashahada hii inalenga kutoa mafunzo ya elimu kwa kuzingatia Biblia na theolojia ya Kikristo ili kuweza kuwaandaa Waalimu watakao kuwa na stadi za Biblia, Theolojia na ualimu. Programu hii imeanzishwa ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu/uhaba wa walimu wa Neno la Mungu wenye taaluma kwaajili ya kufundisha elimu ya dini katika shule za msingi, sekondari na vyuo. Pia program hii inalenga kutoa wanataaluma watakao simamia maadili ya Kikristo mashuleni.
Stashahada ya Elimu ya Kikristo imejikita katika kuwatayarisha na kuwawezesha walimu watakaofundisha neno la Mungu makanisani, mashuleni, magerezani na maeneo mengine yanayohitaji waalimu wenye taaluma ya elimu ya Kikristo. Stashahada ya elimu ya kikristo niprogramu ya mafunzo ya miaka miwili yenye jumla ya krediti 90. Kirediti 1 ikiwa na jumla ya masaa 15 ya ufunudhaji na ujifunzaji.
Baada ya kufuzu masomo haya mwanafunzi ataweza kufanya kazi kama mwalimu wa neno la Mungu katika taasisi na idara mbalimbali za elimu katika taasisi za kidini na zisizo za kidini, pia atakuwa na uwezo wa kufanya kazi kama mchungaji, mwinjilisti au kufanya huduma yoyote ile inayolingana na taaluma yake sawasawa na wito wa Mungu ulio ndani yake.
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA ELIMU YA KIKRISTO
MWAKA WA KWANZA
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 101 |
Pitio la Agnoa Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Msingi ya Imani ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDE 100 |
Utangulizi wa Elimu ya Kikrsito |
3 |
Lazima |
EDM 100 |
Sifa na Ibada |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
Stadi za Mawasiliano na Mbinu za Usomaji |
2 |
lazima |
EDT |
Bibliolojia |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
Kiswahili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
KIngereza I |
2 |
lazima |
Semista ya pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 200 |
Kuisikia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDE 200 |
Kanuni za Kufasiri Maandiko |
3 |
Lazima |
EDE 201 |
Historia ya Elimu ya Kikristo |
3 |
Lazima |
EDM 200 |
Falsafa ya Elimu ya Kikristo |
3 |
Lazima |
EDA 200 |
Shule ya Ukombozi na Uponyaji |
2 |
Lazima |
EDA 201 |
Stadi za Kompyuta I (Itangulizi wa Kompyuta) |
2 |
Lazima |
EDA 202 |
Kiswahili II |
2 |
Lazima |
EDE 202 |
Kingereza II |
2 |
Lazima |
Semista ya Tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya Kanisa |
3 |
Lazima |
EDE 300 |
Saikolojia ya Elimu |
3 |
Lazima |
EDL 300 |
Maandalio ya Uongozi |
2 |
Lazima |
EDC 300 |
Mbinu za Kupanda Makanisa |
3 |
Lazima |
EDA 300 |
Stadi za Kompyuta II |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
Kanuni za kuandaa Mahubiri |
3 |
Lazima |
EDT 303 |
Wanawake katika Huduma |
2 |
Lazima |
EDE 301 |
Mambo Mtambuka katika elimu |
2 |
Lazima |
EDE 302 |
Ujifunzaji na Usimamizi wa Darasa |
2 |
Lazima |
MWAKA WA PILI
Semista ya nne
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 400 |
Agano la Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 400 |
Saikolojia ya Biblia |
3 |
Lazima |
EDT 407 |
Mahusiano ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya Kiroho |
3 |
Lazima |
EDE 400 |
Mbinu za Ufundishaji I |
3 |
Lazima |
EDT 406 |
Numatolojia/Roho Mtakatifu |
2 |
lazima |
EDE 401 |
Utayarishaji na Ukuzaji wa Mitaala ya elimu |
3 |
Lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mungu |
3 |
Lazima |
Semista ya Tano
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDL 500 |
Kanuni za Uongozi wa Kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theolojia tumizi |
3 |
Lazima |
EDT 500 |
Maisha, Ndoa na Familia za Kikristo |
3 |
lazima |
EDE 500 |
Pedagojia na Elimu ya Ualimu |
2 |
Lazima |
EDE 501 |
Ushauri Nasihi Katika elimu |
2 |
Lazima |
EDE 502 |
Methodolojia ya Elimu ya Watu wazima |
2 |
Lazima |
EDE 503 |
Mbinu za Utafiti katika Elimu |
3 |
Lazima |
EDE 504 |
Teknolojia ya Habari katika Elimu ya Kikrsto |
3 |
Lazima |
EDA 500 |
Tafsiri na Ukalimani |
2 |
Lazima |
EDE 505 |
Elimu Linganishi |
2 |
Lazima |
EDT 507 |
Theolojia Linganishi |
3 |
Lazima |
Semista ya Sita
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 600 |
Karama za Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDP 600 |
Ushauri na Malezi ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDT 601 |
Theolojia ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa Kusudi |
3 |
Lazima |
EDE 600 |
Maadili ya Ualimu katika elimu ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDE 601 |
Mbinu za Ufundishaji II |
3 |
Lazima |
EDE 602 |
Tathmini na Upimaji katika Elimu |
3 |
Lazima |
EDE 603 |
Uongozi na Utawala katika Elimu ya Kikristo |
3 |
Lazima |
EDT 607 |
Upako wa Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDE 604 |
Semina ya Elimu ya Kikristo |
|
Lazima |
31.6 STASHAHADA YA UONGOZI WA KANISA (Diploma in Church Leadership)
Stashahada ya Uongozi wa Kanisa imeanzishwa kwa lengo la kuwatayarisha viongozi watumishi wa Kanisa ili waweze kutekeleza majukumu yao ya Uchungaji na uonongozi na utawala wa Kanisa. Duniani kote kuna kilio cha hitaji la viongozi. Viongozi wenye weledi wanahitajika ili ili kuweza kusimamia na kuongoza makanisa na taasisi zake kwa ufanisi. Makanisa yanapandwa kila siku lakini kuna changamoto ya upatikanaji wa wachungaji- viongozi watumishi watakayoyasimamia na kuyaongoza makanisa hayo. Programu hii ya Stashahada ya Uongozi wa Kanisa imeanzishwa ili kuondoa changamoto ya uhaba wa viongozi watumishi walioandaliwa vema kwaajili ya jukumu la uongozi katika makanisa na taasisi zake.
Stashahada ya Uongozi wa Kanisa ni program ya Masomo ya miaka mwiwili yenye jumla ya krediti 90 za masomo. Krediti moja ni sawa na masaa 15 ya ufundishaji. Ili mwanafunzi aweze kutunukiwa stashahada ya Uongozi wa Kanisa ni lazima afuzu mitihani yote na kutimiza mahitaji yote ya program hii.
Baada ya kufuzu masomo haya mwanafunzi aweza kuwa Mchungaji, Mwinjilisti, Meneja au Mtawala katika taasisi za kanisa na miradi yake.
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA UONGOZI WA KANISA
MWAKA WA KWANZA
Semista ya Kwanza
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 101 |
Pitio la Agnoa Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Msingi ya Imani ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDL 100 |
Maandalio ya Uongozi |
3 |
Lazima |
EDM 100 |
Sifa na Ibada |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
Stadi za Mawasiliano na Mbinu za Usomaji |
2 |
lazima |
EDT |
Bibliolojia |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
Kiswahili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
KIngereza I |
2 |
lazima |
Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 200 |
Kusikia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDT 202 |
Kanuni za kufasiri Maandiko |
3 |
Lazima |
EDL 200 |
Misingi ya Uongozi wa Kanisa |
2 |
Lazima |
EDL 201 |
Kanuni za ki-Biblia za Uongozi wa Kanisa |
2 |
Lazima |
EDM 200 |
Ukombozi na Uponyaji |
3 |
Lazima |
EDA 200 |
Stadi a Kompyuta (utangulizi wa kompyuta) |
2 |
Lazima |
EDA 201 |
Kiswahili II |
2 |
Lazima |
EDA 202 |
Kingereza |
2 |
Lazima |
EDL 202 |
Kufaulu na Kufanikiwa ki-Biblia |
2 |
Lazima |
Semista ya Tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya Kanisa |
3 |
Lazima |
EDL 300 |
Uongozi wa kiutumishi |
2 |
Lazima |
EDL 301 |
Kukuza Uwezo wa Kuongoza |
3 |
Lazima |
EDC 300 |
Mbinu za Kupanda Makanisa |
2 |
Lazima |
EDA 300 |
Stadi za Kompyuta II |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
KAnuni za Kuandaa Mahubiri |
3 |
Lazima |
EDT 301 |
Wanawake katika Huduma |
3 |
Lazima |
EDL 3002 |
Mambo Mtambuka katika Uongozi |
2 |
Lazima |
EDL 303 |
Malezi na Makuzi ya Viongozi wa Kiroho |
2 |
Lazima |
MWAKA WA PILI
Semista ya Nne
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 400 |
Agano la Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 400 |
Saikolojia ya Biblia |
3 |
Lazima |
EDT 407 |
Mahusiano ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya Kiroho |
3 |
Lazima |
EDL 400 |
Nguvu ya Maono katika Uongozi |
2 |
Lazima |
EDT 406 |
Numatolojia/Roho Mtakatifu |
2 |
lazima |
EDL 401 |
Kiongozi wa Kanisa mwenye Ufanisi |
2 |
Lazima |
EDL 403 |
Usimamizi wa Fedha |
3 |
Lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mungu |
2 |
Lazima |
Semista ya Tano
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 500 |
Kanuni za Uongozi wa Kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theolojia Tumizi |
3 |
Lazima |
EDL 501, |
Usimamizi, Usuruhishi na Utatuzi wa Migogoro |
2 |
Lazima |
EDT 500 |
Maisha, Ndoa na Familia za Kikristo |
3 |
Lazima |
EDL 502 |
Kuinua Kizazi Kipya cha Viongozi wa Kizazi Kipya |
2 |
Lazima |
EDL 503 |
Mbinu za Utafiti katika Uongozi wa Kiroho |
3 |
Lazima |
EDA 500 |
Tafsri na Ukalimani |
2 |
Lazima |
EDT 507 |
Dini Kuu za Ulimwengu |
3 |
Lazima |
EDL 504 |
Theolojia ya Uongozi wa Kiroho |
2 |
Lazima |
EDL 505 |
Maisha ya Kiongozi wa Kiroho |
2 |
Lazima |
EDL 506 |
Mazoezi ya Vitendo II |
2 |
Lazima |
Semista ya Sita
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 600 |
Karama za Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDP 600 |
Ushauri na Malezi ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDT 601 |
Theolojia ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa Kusudi |
3 |
Lazima |
EDA 600 |
Stadi za Ujasiliamali |
2 |
Lazima |
EDL 602 |
Maadili ya Uongozi wa Kiroho |
3 |
Lazima |
EDL 602 |
Upangaji wa Kimkakati |
2 |
Lazima |
EDL 603 |
Uongozi na Utawala wa Kanisa |
2 |
Kuchagua |
EDT 607 |
Upako wa Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDL 603 |
Usimamizi wa Miradi |
2 |
Kuchagua |
EDE 604 |
Semina ya Uongozi wa Kiroho |
|
Lazima |
31.7 STASHAHADA YA USHAURI WA KUCHUNGAJI. Diploma in Pastoral Care and Counselling (DPC)
Programu hii imeanzishwa kwa lengo la kuwaandaa watumishi wa Mungu, watendakazi na viongozi wa kanisa katika taaluma ya ushauri wa kichungaji. Ushauri na unasihi ni fani inayohitajika sana katika kanisa, hasa katika kipindi hiki. Programu hii inalenga kuwapa wanafunzi ujuzi, maarifa na stadi za ushauri na unasihii wenye msingi wa ki-Biblia. Pia inalenga kuwajensgea wanafunzi uwezo wa kufanya huduma ya ushauri na unasihi kwa waamini na makundi mbalimbali ya watu katika jamii kwa kutumia kanuni za Kibiblia, kitheologia na Kisaikolojia. Pia kusuhulisha migogoro mbalimbali inayojitokeza miongoni mwa waamini. Kozi Hii inatumia mbinu za kibiblia na kisaikolojia katika kuwaandaa washauri na wanasihi.
Programu hii pia ni matayarisho kwa mwanafunzi katika kujiendeleza katika elimu ya juu katika mambo ya ushauri wa kichungaji/kikristo.
Mwanafunzi baada ya kuhitimu program hii atakuwa na uwezo wa kufanya huduma ya ushauri na unasihi katika kanisa na katika jamii mbalimbali, atakuwa na uwezo wa kusuruhisha migogoro mbalimbali inayojitokeza katika kanisa na kufanya kazi mbalimbali katika kanisa kam Ushauri Nasihi, Uchungaji, Uinjilisti, Upandaji Makanisa. N.K kwa kutegemea wito wa Mungu uliondani yake.
Stashahada ya Ushauri wa Kichungaji ni Programu ya mafunzo ya muda wa miaka miwili yenye jumla ya krediti 90. Krediti moja ni sawa na masaa kumi na tano (15) ya ufundishaji. Ili mwanafunzi aweze kutunukiwa Stashahada hii ya ushauri wa Kichungaji ni lazima afaulu mitihani yote na kutimiza mahitaji yote ya stashahada ya Ushauri wa Kichungaji
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA USHAURI WA KICHUNGAJI
MWAKA WA KWANZA
Semista ya kwanza.
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 102 |
Pitio la Agano Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Misingi ya Imani |
2 |
Lazima |
EDT 101 |
Ufuasi |
2 |
Lazima |
EDM 100 |
Sifa na ibada |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
Stadi za Mawasiliano na mbinu za usomaji |
2 |
Lazima |
EDP 100 |
Utangulizi wa ushauri wa kichungaji |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
*Kiswahiili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
*Kiingereza I |
2 |
Lazima |
Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
|
EDT 200 |
Kuiskia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
|
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
|
EDT 202 |
Kanuni za kufasiri Maandiko |
2 |
Lazima |
|
EDP 200 |
Saikolojia ya makuzi |
2 |
Lazima |
|
EDP 400 |
Haiba za Watu |
2 |
Lazima |
|
EDM 200 |
Shule ya ukombozi |
2 |
Lazima |
|
EDA 200 |
Stadi za kompyuta I |
2 |
Lazima |
|
EDA 201 |
Kiswahiili II |
2 |
Lazima |
|
EDA 202 |
Kiingereza II |
2 |
Lazima |
|
EDM 201 |
Vita vya kiroho |
2 |
Lazima |
|
Semista ya Tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya kanisa |
3 |
Lazima |
EDM 300 |
Shule ya uponyaji |
2 |
Lazima |
EDL 300 |
Maandalio ya uongozi |
2 |
Lazima |
EDP 300 |
Ushauri wa makundi |
2 |
Lazima |
EDP 301 |
Mbinu za ushauri wa kichungaji |
2 |
lazima |
EDC 300 |
Mbinu za kupanda makanisa |
2 |
Lazima |
EDA 300 |
Stadi za Kompyuta II |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
Kuandaa mahubiri |
2 |
Lazima |
EDT 303 |
Wanawake katika huduma |
2 |
Lazima |
EDT 301 |
Theologia Ya Biblia |
3 |
Lazima |
MWAKA WA PILI
Semista ya Nne
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 400 |
Agano la Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 400 |
Ushauri wa adiksheni |
3 |
Lazima |
EDT 300 |
Mahusiano ya kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya kiroho |
2 |
Lazima |
EDP 401 |
Uponyaji wa nafsi |
2 |
lazima |
EDP 403 |
Ushauri wa ndoa na familia |
2 |
Lazima |
EDT 401 |
Kanisa na utandawazi |
2 |
Lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 404 |
Ushauri wa Taaluma, kazi na Ajira |
2 |
Lazima |
Semista ya tano
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDL 500 |
Kanuni za uongozi wa kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theolojia ya matendo |
2 |
Lazima |
EDM 501 |
Huduma ya masaidiano |
2 |
Lazima |
EDT 500 |
Ndoa na familia |
3 |
Lazima |
EDP 500 |
Maadili ya ushauri na malezi ya kichungaji |
2 |
Lazima |
EDP 501 |
Kusuluhisha migogoro |
2 |
Lazima |
EDP 502 |
Mbinu za utafiti katika ushauri wa kichungaji |
2 |
Lazima |
EDA 500 |
Tafsiri na ukalimani |
2 |
Lazima |
EDT 604 |
Theologia linganishi |
2 |
kuchagua |
EDT 603 |
Mafundisho potofu |
2 |
Kuchagua |
EDM 502 |
Mazoezi ya vitendo I |
2 |
lazima |
Semista ya Sita
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDP 600 |
Ushauri wa afya ya akili |
3 |
Lazima |
EDT 601 |
Theolojia ya Kichungaji |
2 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa kusudi |
2 |
Kuchagua |
EDL 601 |
Usimamizi wa Raslimali za kanisa |
2 |
kuchagua |
EDM 600 |
Mbinu za ufundishaji |
2 |
Lazima |
EDA 600 |
Ujasiliamali |
2 |
Lazima |
EDT 602 |
Mtazamo wa ulimwengu KiBiblia |
2 |
Lazima |
EDT 501 |
Kupokea upako wa Roho Mtakatifu |
2 |
Lazima |
EDP 502 |
Kushughurikia majanga |
2 |
Lazima |
EDP 605 |
Semina ya ushauri na malezi ya kichungaji |
|
Lazima |
31.8 STASHAHADA YA BIBLIA NA HUDUMA ZA KANISA ( Diploma in Bibli and Church Ministries
Programu hii imeanzishwa ili kuwaandaa watendakazi na viongozi wa kanisa waliojaa upako wa Roho mtakatifu, maarifa na stadi katika mambo ya huduma za kanisa. Programu hii ya Stashahada ya Biblia na Huduma za Kanisa Inalenga katika kuwatayarisha viongozi wa kanisa watakaojihusisha kikamilifu katika huduma mbalimbali zilizopo katika kanisa na jamii kwa ujumla. Programu hii inalenga kuwapa wanafunzi maarifa na kuwajengea uwezo wa kufanya kazi ya huduma kwa ufanisi na uwezo wa kulihubiri Neno la kweli kwa uhalali.
Hivyo mwanafunzi baada ya kufuzu masomo haya atakuwa na uwezo wa kufanya kazi mbalimbali za kihuduma ili kuujenga mwiliwa Kristo Yesu. Progamu hii ina jumla ya krediti 90 za masomo ambazo mwanafunzi ni lazima azisome zote na kufuzu mitihani ya kozi zote ili aweze kustahili kutunukiwa stashahada ya Biblia na Huduma za kanisa.
Baada ya kufuzu masomo katika program hii mwanafunzi aweza kuwa Mchungaji, mwinjilisti, mpanda makanisa au kufanya kazi yoyote inayoendana na taaluma yake na wito wa Mungu ulio ndani yake.
ORODHA YA KOZI ZA STASHAHADA YA BIBLIA NA HUDUMA
Mwaka wa Kwanza
Semista ya Kwanza
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDB 100 |
Pitio la Agano la Kale |
3 |
Lazima |
EDB 102 |
Pitio la Agano Jipya |
3 |
Lazima |
EDT 100 |
Misingi ya Imani |
2 |
Lazima |
EDT 101 |
Ufuasi |
2 |
Lazima |
EDM 100 |
Sifa na ibada |
2 |
Lazima |
EDA 100 |
Mawasiliano na stadi za usomaji |
2 |
Lazima |
EDA 101 |
Kiswahiili I |
2 |
Lazima |
EDA 102 |
Kiingereza I |
2 |
Lazima |
EDM 101 |
Utangulizi wa Uongozi na huduma |
3 |
Lazima |
Semista ya pili
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 200 |
Kuiskia Sauti ya Mungu |
2 |
Lazima |
EDT 201 |
Maisha ya Kikristo |
2 |
Lazima |
EDT 202 |
Kanuni za kufasiri Biblia |
2 |
Lazima |
EDT 206 |
Kuvunja kongwa la umaskini |
2 |
lazima |
EDM 200 |
Shule ya ukombozi |
2 |
Lazima |
EDA 200 |
Stadi za komputa I |
2 |
Lazima |
EDA 201 |
Kiswahiili II |
2 |
Lazima |
EDA 202 |
Kiingereza II |
2 |
Lazima |
EDM 201 |
Vita vya kiroho |
2 |
Lazima |
Semista ya tatu
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 300 |
Historia ya kanisa |
3 |
Lazima |
EDM 300 |
Shule ya uponyaji |
2 |
Lazima |
EDL 300 |
Maandalio ya uongozi |
2 |
Lazima |
EDC 300 |
Mbinu za kupanda makanisa |
2 |
Lazima |
EDA 300 |
Stadi za Kompyuta II |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
Kanuni za Kuandaa mahubiri |
2 |
Lazima |
EDT 303 |
Wanawake katika huduma |
2 |
Lazima |
EDM 301 |
Huduma za magerezani na hospitali |
2 |
lazima |
EDM 302 |
Kuhudumia watoto |
2 |
lazima |
EDM 303 |
Umishenari katika nchi za Kigeni |
3 |
Lazima |
MWAKA WA PILI
Semista ya Nne
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDT 400 |
Agano la Mungu |
2 |
Lazima |
EDP 400 |
Saikolojia ya Biblia |
3 |
Lazima |
EDT 300 |
Mahusiano ya kikristo |
2 |
Lazima |
EDC 400 |
Mbinu za mazidisho ya kiroho |
2 |
Lazima |
EDP 401 |
Uponyaji wa nafsi |
2 |
lazima |
EDM 40 |
Huduma ya Utume na Unabii |
2 |
lazima |
EDT 403 |
Kutembea na Mungu |
2 |
Lazima |
EDM 400 |
Kuhudumia vijana |
2 |
Lazima |
EDM402 |
Misingi ya huduma |
2 |
lazima |
Semista Ya Tano
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDL 500 |
Kanuni za uongozi wa kiroho |
2 |
Lazima |
EDM 500 |
Theolojia ya matendo |
2 |
Lazima |
EDM 501 |
Huduma ya masaidiano |
2 |
Lazima |
EDT 500 |
Ndoa na familia |
3 |
Lazima |
EDA 500 |
Tafsiri na ukalimani |
2 |
Lazima |
EDT 604 |
Theologia linganishi |
2 |
Lazima |
EDM 502 |
Huduma ya Ualimu na Uchungaji |
3 |
Lazima |
EDM 503 |
Karama za huduma |
2 |
lazima |
EDM 504 |
Mbinu za utafiti katika huduma |
2 |
Lazima |
EDM 502 |
Mazoezi ya vitendo |
2 |
Lazima |
Semista ya sita
NAMBA YA KOZI |
JINA LA KOZI |
KREDITI |
HADHI |
EDM 600 |
Huduma ya Uinjilisti |
3 |
Lazima |
EDL 600 |
Kuongoza kwa kusudi |
2 |
Kuchagua |
EDL 601 |
Usimamizi wa Raslimali za kanisa |
2 |
kuchagua |
EDM 601 |
Mbinu za ufundishaji |
2 |
Lazima |
EDA 600 |
Ujasiliamali |
2 |
Lazima |
EDT 602 |
Mtazamo wa ulimwengu KiBiblia |
2 |
Lazima |
EDT 501 |
Kupokea upako wa Roho Mtakatifu |
3 |
Lazima |
EDB 600 |
Waebrania |
3 |
Lazima |
EDB 601 |
Danieli na ufuno |
3 |
Lazima |
EDM 602 |
Semina ya huduma |
|
Lazima |